Body

Swahili Devotionals

NDANI YA MACHO YA BABA

David Wilkerson (1931-2011)

Ninaposema imani kamili katika Kristo, simanishi tu katika nguvu zake za kuokoa lakini pia katika uwezo wake wa kuweka. Tunatakiwa kuamini Roho wake ili atuhifadhi na kutufananisha na mfano wa Kristo.

Wakati mmoja ulikuwa mbali, ukatwa na Mungu kwa kazi mbaya. Ulifanya kazi gani nzuri ya kufanya mambo sawa na yeye? Hakuna! Hakuna aliyewahi kufanya au kujitunza mwenyewe. Tunaletwa katika utakatifu wa Kristo kwa imani peke yake, kama tunavyoamini katika kile ambacho Neno la Mungu linasema: "Ikiwa mmekuwa ndani ya Kristo, nanyinyi ni watakatifu kama yeye yu mtakatifu."

UTEGEMEZI KAMILI JUU YA MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

Tunajua kwamba Mungu aliwaokoa Israeli kabisa. Katika kijiti cha moto, Musa alikuwa akiandaliwa kumwamini Mungu kuleta kazi hiyo ya utukufu. Angejifunza kitu kuhusu asili ya Mungu ambayo baadaye itamsaidia kumtegemea Bwana kuifanya yote. Nini kipengele hicho cha asili ya Mungu? Utakatifu wake!

KIJITI KINACHOWAKA

David Wilkerson (1931-2011)

Musa alikuwa peke yake juu ya Mlima Horebu akichunga kondoo za baba mkwe wake wakati alipoona mbele yake kitu cha ajabu kilicho ingiya ndani ya mawazo yake - kijiti kilikuwa cha moto. Alipokuwa akisonga mbele ili atazame kwa kusogelea, Mungu alimwita nje ya kichaka.

NJIA YA KUELEKEA UTAKATIFU

David Wilkerson (1931-2011)

Yesu Kristo, Mwokozi wetu, anasimama peke yake katika utakatifu kamili. Kwa sababu Yesu peke yake ni mtakatifu na mkamilifu, Mungu hamtambui mtu mwingine yeyote. Kwa hiyo, ikiwa tutapokewa daima na Baba wa mbinguni, lazima tuwe ndani ya Kristo, kwa neema tu ya Kristo na kwa kupitia sifa isiyofaa kwetu wenyewe.

MBALI NA UPENDO WA YESU

Gary Wilkerson

Waanadini wana tabia ya kuzingatia giza badala ya nuru. Nasikia Wakristo wengi wanaachilia maneno maumivu: "Utamaduni ni wa kulaumiwa," au "Serikali ni yakutenda kosa," au "Kundi hilo lina ushawishi mbaya kwa maslahi yawo maalum," Ikiwa unatembea kama Yesu alivyofanya, hutaweza kulaani giza kwa sababu wewe unaangazia nuru yenye unaleta. Hebu aca nionyeshe.

SABABU YA MUNGU KUONYESHA NGUVU ZAKE

Nicky Cruz

Katika sura ya tatu ya Matendo, baada ya Petro na Yohana kumponya mwombaji kiwete kwenye lango lakuingia ndani ya hekalu, wachache waliokuwa wakiangalia walisimama mbele. Walikuwa wamemjua mtu miaka mingi, na uponyaji haukuweza kuepukika. Watu waliwauliza wanafunzi kuhusu hilo, Petro akawaambia, "Enyi waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi? Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu” (3:12-13).

MATUNDA YA UPENDO WA BABA

David Wilkerson (1931-2011)

Upendo wa Mungu ulitolewa kwetu kupitia Yesu Kristo. Kwa mujibu wa Yohana, upendo wote wa Mungu unakaa ndani ya Yesu: "Kwakua katika utimilifu wake sisi sote tulipokea” (Yohana 1:16). Unaweza kuuliza, "Ni jambo gani muhimu kwa kujua kwamba upendo wa Mungu ulitolewa kwetu kupitia Kristo? Hii inathirije maisha yetu ya kila siku?"

KUKAA NDANI YA MUNGU

David Wilkerson (1931-2011)

Mungu atakuacha lini kukupenda? Atasimama tu ikiwa anaacha Mwana wake mwenyewe, ambayo haiwezekani. Kristo anasema, "Naye aliwapenda watu wake katika ulimwengu, aliwapenda upeo" (Yohana 13:1). Hii inatusaidia kuelewa vizuri zaidi kile Yuda anachosema wakati anapofundisha, "Jilindeni katika upendo wa Mungu" (Yuda mstari wa 21). Anatuambia, "Weka ukweli huu, ushikilie na usuiache kamwe. Kujua upendo wa Mungu kuna maana ya faraja yako, nguvu yako. Itakufanya kuwa huru na kukuweka kuwa huru.

UPENDO WAKE HAUNA MWISHO

David Wilkerson (1931-2011)

Kulingana na Yesu, katika macho ya Baba, Kristo na Kanisa lake ni wamoja. Paulo anaonyesha hii kwa mfano wa mwili wa mwanadamu. Anasema Kristo ndiye kichwa, na sisi ni mwili wake - mfupa wa mfupa wake, mwili wa mwili wake. "[Mungu] akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa ;ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.” (Waefeso 1:22-23). “Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake" (Waefeso 5:30).