Body

Swahili Devotionals

ABBA, YAANI, BABA

Gary Wilkerson

Isaya 6 ina fungu la utukufu sana kuhusu Yesu: "Nilimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu saana na kuinuliwa sana,na pindo zazazi zikalijaza hekalu” (Isaya 6:1). Kukua sana, maono yangu ya Bwana ndani ya mawazo yangu ni kwamba alikuwa mahali pa mbali, kuondolewa kutoka kwangu, chombo nilichohitaji kushughulikia katika lugha ya Biblia ya Mfalume Yakobo (King James Bible) kama "Wewe" na "Wewe.”

UJUMBE PEKE YAKE HAUTOSHI

Jim Cymbala

Wanafunzi walikuwa na nia ya kuanza kuhubiri lakini Yesu aliwaagiza "Lakini kaeni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu" (Luka 24:29). Yesu alijua vizuri zaidi kuliko wanafunzi, kwamba vifaa vinavyohitajika kwa kazi ilikuwa zaidi ya akili nzuri, talanta ya binadamu, na hata moyo wa kweli. Kwa hiyo walitii agizo la Yesu na walisubiri chumba cha juu, wakiomba na kuimba, pamoja na kumsifu Mungu.

MUNGU HUFURAHIYA WA TOTO WAKE

David Wilkerson (1931-2011)

Hapa ni silaha yenye nguvu kwa kila mfuasi wa Yesu: Lia! Lia sana kwa moyo wako wote kama Daudi alivyofanya (angalia Zaburi 34:6). Nenda kwa Bwana na ukiri dhambi yako na kujitokezea mbele ya mapenzi yake, ukisema, "Bwana, najua unanipenda na uko tayari kunisamehe, natubu mbele yako hivi sasa."

KUWA TAYARI KUSAMEHE

David Wilkerson (1931-2011)

Inajulikana vizuri kwamba Mfalme Daudi alianguka katika dhambi mbaya, akafanya uzinzi na kuifunika kwa mauaji. Zaidi ya hayo, tunajua Daudi alikuwa amejaa Roho Mtakatifu, kwa hiyo lazima alikuwa mwenye huzuni nyingi.

Nabii Nathani akamwambia, “Umeletea jina la Mungu aibu" Daudi angeweza kwenda kwa muda mrefu sana kubeba uzito wa matendo mabaya aliyoifanya na mara moja alikiri na kutubu. Hata kama alipokuwa akilia, Nathani alimhakikishia, "Bwana naye ameiondowa dhambi yako, hutakufa" (2 Samweli 12:13).

KUCHUKIA DINI

Gary Wilkerson

Kwa sababu nataka watu wote ulimwenguni kujua ukweli wa Yesu, ninatumia muda mwingi wa kutembea duniani kote katika huduma. Na kisha nitakaporudi nyumbani, ninaomba kwamba kila Mkristo atamjua Yesu pia!

Natumaini umepata utani - lakini unahitaji kujua kama nina nusu tu ya kutania. Maisha yetu kama wafuasi wa Kristo sio juu ya dini inayojulikana, lakini juu ya Mtu anayeweza kujulikana, Yesu. Kuna tofauti kubwa.

GOTT HAT BEREITS GESPROCHEN

Carter Conlon

Kuna sababu nyingi kwa Mungu kuwa kimya, lakini nitaenda kugusa juu ya kitu ambacho yeye hivi karibuni ameweka ndani ya moyo wangu. Wakati mwingine Mungu anaweza kuwa kimya tu, kwa sababu tayari arisha sema nawe! Ikiwa unafikiri juu yake, unawezaje kumshtaki Mungu wa kuwa kimya wakati amekuachia barua sitini na sita, maelfu ya mistari? Hakuna haja ya kurudiaemwo mwenyewe tena. Je, hufurahi kwamba kitabu cha Mwanzo hasema, "Mungu akasema, iwe nuru. Ikawa nuru”?

"WALIMULILIA SAANA BWANA"

David Wilkerson (1931-2011)

Biblia inaahidi kwamba inawezekana kuelewa upendo wa Bwana. Je, ni ufunguo gani? Mfalme Daudi akasema, "Aliye na hekima ayaangalie hayo; Na wazitafakari fadhili za Bwana" (Zaburi 107:43).

Daudi alipata ufunuo wa kushangaza kwa neema ya Mungu, na moyo wa kusamehe. Na aligundua tu kwa kuangalia rekodi ya Mungu ya zamani ya kushughulika na watoto wake wapendwa. Daudi anaripoti kwa hii njia:

SAHAU YALIOPITA

David Wilkerson (1931-2011)

Msingi wa ushindi wote juu ya dhambi ni ufahamu kwamba Mungu ni mwenye huruma na mwenye kujaa wema na upendo.

"Bwana asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake; bali ajisifu na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, na kunijua, ya kuwa mimi ni Bwana, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi" (Yeremia 9:23-24).