ABBA, YAANI, BABA

Gary Wilkerson

Isaya 6 ina fungu la utukufu sana kuhusu Yesu: "Nilimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu saana na kuinuliwa sana,na pindo zazazi zikalijaza hekalu” (Isaya 6:1). Kukua sana, maono yangu ya Bwana ndani ya mawazo yangu ni kwamba alikuwa mahali pa mbali, kuondolewa kutoka kwangu, chombo nilichohitaji kushughulikia katika lugha ya Biblia ya Mfalume Yakobo (King James Bible) kama "Wewe" na "Wewe.”

Tena nini Mungu wetu mtakatifu wa juu, anasema juu yetu sisi watu wa chini, watenda dhambi wanaomfuata? Isaya anatuambia hivi: "Maana yeye aliye juu, na aliyetukuka,akaaye milele ; ambaye jina lake ni Mtakatifu; “asema hivi ;nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu ;tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzizfufua roho za wanyenyekevu,na kuifutua mioyo yao waliotubu” (57:15). Ndiyo, Baba yetu ni mtakatifu, mwenye utukufu na sifa - hata hivyo anajinyenyekeza kukaa ndani ya mioyo yetu yenye unyenyekevu, yenye dhambi.

Nadhani kila mtoto kwakawaida anajua tofauti kati ya kupenda dini na kumpenda Yesu. Siku moja wakati binti yangu alipokuwa mdogo, alipekua kati ya ukurasa wa gazeti nililokuwa nikisoma. Nilikuwa nimechoka na nikamfukuza, nikitaka dakika chache tu kupumzika kabla ya kufanya kazi kwenye mahubiri niliyohitaji kwa Jumapili ijayo. Lakini yeye aliendelea kupekua, akisema, "Baba, nataka kukuambia kitu fulani.” Niliendelea kumufukuza mbali, kufikiri saa na kuweka harama kwene dakika za kupumuzika. Haya mbele na nyuma yalisimama wakati mimi hatimaye nikasema, "Asali, unataka kuniambia nini?" Akajibu, "Ninakupenda.”

Alijua tofauti kati ya dini - ukamilifu wangu kama mhubiri - na kumpenda Yesu, ambayo alikuwa ananionyesha. Neno la Mungu linaweka wazi kwamba anataka sisi tumusogelee kama binti yangu alivyonitendea - ita saana "Baba," Abba, ambaye yu karibu saana, si mbali au kupita zaidi ya kutufikia.