MUFANO HALISI WA MUNGU
Katika Agano la Kale, watu wa Mungu walimwacha mara kwa mara, lakini kila wakati aliwarejesha na kuwabariki sana. Bwana alikuwa na haki kubwa ya kuacha juu ya Israeli, lakini aliendelea kuwa mwaminifu kwao. Nehemiya anaandika ukweli huu wa ajabu juu ya asili ya Mungu:
"Lakini walipokuwa wamekwisha kustarehe, walitenda ma baya mbele zako ... hata hivyo waliporejea na kukulilia, uliwasikia toka mbinguni, ukawaokoa mara nyingi kwa reheme zako ... Ila kwa rehema zako nyingihukuwakomesha kabisa, wala kuwaacha; kwa maana wewe u Mungu mwenye neema, mwenye rehema" (Nehemia 9:28, 31).