Body

Swahili Devotionals

HII NI NIZAWADI YA AJABU KUTOKA KWA NEEMA

Gary Wilkerson

"Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu, wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu" (Waefeso 2:8-9, ESV).

Maisha yetu katika Kristo huanza kwa neema, inaendelea kwa neema, na itaisha kwa neema. Mara tunapofahamu jambo hili, maisha yetu yatakuwa na uhuru badala ya utumwa; kwa furaha badala ya uchovu; kwa furaha badala ya hofu. Kutumia muda mbele ya Mungu kutaonekana kama zawadi ya furaha kwa sababu tutakuja kuelewa kwamba sisi si watumishi tena lakini marafiki wa Yesu.

WAKATI MUNGU ANAKUWA KIMYA

Carter Conlon

Tunapoangalia safari yake, tunaona bilashaka Mfalme Daudi alianza kwa nguvu. Roho Mtakatifu alikuja juu yake, akimfanya kushinda simba na dubu, na hatimaye jitu Mfilisti. Ilionekana kama siyo mwisho wa kile ambacho Mungu angeenda kufanya kupitia maisha yake, mpaka wakati wa utulivu ulikuja. Ghafla Mungu hakuwa akizungumza jiya aliyotumia, na Daudi akaanza kupoteza imani. Alipoteza imani katika maneno ya zamani ya Mungu juu yake, ambayo ilimfanya ajaribu kuongoza maisha yake kwa hekima yake mwenyewe na kutatua matatizo yake kwa nguvu zake mwenyewe (angalia 1 Samweli 27:1-3).

SALA ZA IMANI

David Wilkerson (1931-2011)

Sala ni siri ya ukuaji wa kiroho, lakini ikiwa tunakwenda kwa kiti cha enzi tu kwa ajili ya kuimarisha na mahitaji yetu binafsi, tunakuwa na ubinafsi. Biblia inatuonyesha kwamba hatuwezi kuacha kuomba sana kwa mahitaji ya wale walio karibu nasi na kutupa mifano ya "sala zenye manufaa" (angalia 2 Wakorintho 1:11).

SALA LA USAIDIZI

David Wilkerson (1931-2011)

Kila mchungaji, mhubiri na muinjilisti anahitaji wasaidizi katika sala lenye kuendelea ili awaombee. Ninawahakikishia kwamba kwa miaka mingi nimekuwa nikibebwa kwa kuombewa na watumishi waaminifu.

Maandiko yanasema kwamba Petro alipokuwa amefungwa gerezani, "Kanisa liliomba Mungu mara kwa mara kwa ajili yake" (Matendo 12:5). Mungu alimuokowa Petro kwa muujiza kupitia sala ya usaidizi.

UZURI WA KUSIFIWA

David Wilkerson (1931-2011)

Katika Zaburi, Daudi anapanua uzuri wa Mungu katika kuwabariki wale wanaomwamini.

"Jinsi zilivyo nyingi fadhili zako ulizowawekea wakuchao; ulizowatendea wakukimbiliao mbele ya wanadamu! Utawasitiri na fitina za watu katika sitara ya kuwapo kwako; utawaficha katika hema na mashindano ya ndimi." (Zaburi 31:19-20).

UJASILI NA UHAKIKA

Gary Wilkerson

"Ya kwamba yeye alianza kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya Kristo. Vile vile kama ilivyo wajibu wangu kufikiri haya juu yenu nyote; kwa sababu nyinyi mmo moyoni mwangu" (Wafilipi 1:6-7).

Hapa unaweza kuona upendo Paulo alikua nao kwa Wafilipi. Na kwa sababu ya upendo huu mkubwa, yeye aliwumizwa pamoja nao kwa sababu ya hali ngumu walikua wanapitiya.

Miaka michache iliyopita marafiki wengine wapendwa wetu wote walipoteza kazi zao na walipaswa kuingia katika nyumba ndogo na watoto wao.

ÎN PAS CU DUHUL

Jim Cymbala

Cei mai mulți dintre noi am început viața creștină cu credința că Dumnezeu este tot ceea ce avem nevoie. Punct. Bineînțeles, știam că nu puteam câștiga nicidecum acceptare la Dumnezeu. Mântuirea Lui a fost un dar gratuit ― tot ce a trebuit să facem noi era să credem și să-l primim. Însă, după aceea a urma pe Hristos a devenit un pic mai complicat. Conștienți fiind de eșecurile noastre, ne-am îndreptat nu spre El ci spre noi înșine!

UKUU WA MUNGU WETU

David Wilkerson (1931-2011)

Mtunga Zaburi Daudi anatukumbusha ukuu wa Mungu hata kati kati ya mafuriko makubwa. Maji yetu ya sasa yanaweza kuinua sauti yake kwa sauti kubwa, lakini Mungu anatawala juu ya kila kitu. Yeye peke yake yuko katika udhibiti.

KUJENGA JUU YA IMANI YETU

David Wilkerson (1931-2011)

Kama vile Daudi alivyoandika Zaburi yake, alijenga juu ya imani yake mwenyewe kwa ujuzi unaozidi kuongezeka kwa ukuu wa ajabu wa Mungu.

"Katikati ya miungu hakuna kama wewe, Bwana, wala matendo mfano wa matendo yako. . . . Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu, wewe ndiye mfanya miujiza, Niwe Mungu peke yako" (86:8,10).

Kulingana na Daudi, hofu zetu zote zinaangukia katika ujuzi wa ukuu wa Mungu. Anapanua vipimo vingi vya ukuu wa Bwana wetu ili kujenga imani yetu.