TULIITWA ILI TUTUMIKE
"Walakini natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo afike kwenu karibu, nifarijiwe na mimi, nikiijua hali yenu" (Wafilipi 2:19).
Hapa Paulo alikuwa ameketi katika kiini cha jela huko Roma, bila kufikiri juu ya faraja yake mwenyewe au hali yake ngumu. Alikuwa na wasiwasi tu juu ya hali ya kiroho na kimwili ya watu wake na akawaambia, "Faraja yangu itakuja wakati tu najua kwamba muko munafanya vizuri - kiroho na kimwili. Kwa hivyo ninawatumia Timotheo ili awahakikishiye nyinyi kwa niaba yangu."