BWANA ANAFIKISHA NENO LAKE
Sijawahi kujisikia kukosa wusaidizi na wasiwasi zaidi kuliko wakati tulirudi New York City kuanza Kanisa la Mraba wa Kati (Times Square Church). Mara nyingine tena tulikuwa na rehema ya ratiba ya wamiliki wa nyumba na wakuu wa majengo. Nilipokuwa nahitija kusubiri, si kukuwa na subila kabisa na nililia, "Bwana, kuna mengi ya kufanyika huko New York na wakati mdogo sana. Tunapaswa kusubiri muda gani?"
Lakini mara kwa mara Mungu alinijibu kwa uvumilivu, "Daudi, unaniamini? Ebu ngojea."