JINSI YA KUWASHINDA DUBU NA MAJITU
Tunaposoma kuhusu maisha ya Mfalme Daudi, ni rahisi kujiuliza jinsi alivyopata kuwa mtu wa Mungu mwenye nguvu hivyo. Imani aliyokuwa nayo inastaajabisha, hasa tunaposoma vifungu kama vile alipokutana na Goliathi. Anasema jambo la kushangaza kabla ya pambano hilo.