YULE ANAESIKIA MAOMBI

Jim Cymbala

Nyongeza ya kumfafanua Mungu kama Muumbaji, Msaidizi na Mfalme, Biblia pia humwita "Msikilizaji wa Maombi." Hii ni mojawapo ya maelezo mazuri sana ambayo kwa kweli nikama ya mwisho kwa kujulikana ya Bwana katika Maandiko: " Wewe usikiaye kuomba, wote wenye mwili watakulia." Au, zaidi ya kweli wa maandiko, "Msikilizaji wa Maombi, kwa wewe watu wote watakuja" (Zaburi 65:2).

Ikiwa Mungu hakusikia kilio na maombi yetu, je, dunia yetu hatakuwa yenye upweke na huzuni? Kwa bahati nzuri, Bwana si Muumbaji aliye mbali kwa kuweka dunia kwa shauku na kisha akaipuuza. Yeye ni "Msikilizaji wa Maombi" ambaye alifanya utoaji wa gharama kubwa ili watu wake "wapate kukikaribia kiti chake cha neema kwa ujasiri" (Waebrania 4:16).

Mungu anapenda kujibu maombi yetu, lakini Biblia inazungumzia kanuni za uhakika ambazo zinatawala njia za mafanikio yake. Kama vile Mungu alivyoumba ulimwengu kwa mpangilio na sheria za kimwili zinazoongoza, hivyo ni pamoja na maombi. Maombi sio kazi isiyo eneza, au ya ajali.

Mrekebishiji mkuu Martin Luther alitangaza kwa ujasiri kwamba Mungu hafanyi kitu lakini jibu tu kutoka kwa maombi. Hilo labda liko karibu sana na ukweli ya yale Maandiko yanathibitisha. Mara kwa mara, kama Mungu anavyohusika na watu wake, tunaona mzunguko huu:

Kusudi – Ahadi – Maombi

Mtunga Zaburi anasema kuwa ukombozi wa Bwana umekaribia kwa sababu "majira yalioamriwa yamewadia" na kisha anaongeza kwa haraka kwamba Mungu "ataitikia maombi ya masikini; hatayadharau maombi yao" (Zaburi 102:13, 17).

Tunahitaji kutambua kwamba ahadi zinazomwangika katika Biblia zetu, zitamwangika katika maisha yetu pia kama tunavyofaa kupitia maombi. Mungu anataka tujisikie salama kuhusiana na uhusiano wetu naye. Anataka tujue kwa hakika kwamba tuna uzima wa milele kama sehemu ya familia yake. Kwa sababu sisi ni watoto wake, basi, tunaweza kumletea mahitaji yetu kwa uhakika kupitia maombi. Tunaweza kuwa na uwaminifu huyo huyo katika kuomba vitu kama vile kama tunavyo kuhusu wokovu wetu. 

Jim Cymbala alianzisha Hema la Brooklyn (Brooklyn Tabernacle) akiwa na wanachama wasio zidi  ishirini katika jengo la chini katika sehemu ngumu ya mji huo. Mzaliwa wa Brooklyn, yeye ni rafiki wa muda mrefu wa David na Gary Wilkerson.