SAUTI ZAUSHINDI

David Wilkerson

Wakati turi anzisha Kanisa la Mraba wa Nyakati (Times Square Church) munamo 1987, tuligunduwa haraka kama tuko tunafanya kazi ya uchungaji katika Korinto yasiku yakisasa, mojawapo ya eneo la mufureji duniani ndani ya Agano Jipya. Kwahiyo, tunapashwa kuhubili ujumbe wakutia hatiani na kuweza kuamusha mioyo. Wakati tulifunguwa mirango mala yakwanza, mikutano yetu ilikuwa inahuzuliwa na Wakristo wengi wanafanya kazi katika sekta ya burudani ya juu na televisheni na filamu. Wamoja wlichagua kubakiya katika kazi zawo zilikuwa zinaonekana wazi kama zinafedhehesha Bwana.

Nilishingaa kama tungeweza kuhubiri watu wa burudani hawaja okoka kama waumini wetu watu walikuwa wanaendelea kujishugulisha na mufumo wa biashara hauko sahihi. Hivyo turihubili ujumbe “wakujitenga,” nahapo hapo Bwana akaanza kua na mupango na watu. Wengi waliachana na kazi za biashara za kutangaza muziki,tena Mungu aliwabariki sana kimaajabu. “Kwa hiyo, tokeni kati yao, mkatengwe nao, asema Bwana” (2 Wakorintho 6:17).

Tuligunduwa kama Mungu alikuwa amehifazi mabaki ya watu wake kwa ajili yake ndani Kanisa la Mraba wa Nyakati (Times Square Church), ambao ni watu napenda Neno lake. Kwa kila mukutano watu wanaketi kama ndege zina njaa, midomo yao kufunguka kiupana kwa ajili ya chakula. Baadaye, walibeba kanda za mahubili nyumbani kuao. Kanisa letu lilipitia kwenye wakati wa toba la kiroho, nakuwa na hamu ya kutii, na kua tayali kufanana na Neno la Mungu.

Kama sisi wote tumekuja chini ya nguvu na uongozi wa Neno la Mungu, watumishi na waumini kua sawa, mikutano yetu ilikuwa imejaa kwa wingi wa machozi ya toba. Mahali patakatifu palikua pamejaa na sauti zaushindi, furaha na shangwe. Palikuepo kufurahiiya kwasababu tulikuwa tomeanza kuelewa ukweli mukubwa wa Neno la Mungu.

Tulijifunza kudumisha furaha ya Bwana kati ya watu wake, na Mungu akaita kwa kutenda zaidi ndaani ya maisha yetu.