NGUVU ZA UKWELI

David Wilkerson

Kama watu wa Mungu, hatuwezi kwenda mbele kwa ukamilifu ndani ya Kristo kama hatuwezi kuongeza bidi zatafauti zetu kutoka pepo za dunia hii. Kama hatugeuke sana nakuwaza mambo ya mbinguni na tuachane na mambo ya kujifurahisha ya dunia hii imetuzunguka, tutapungukiwa na furaha ya okuvu wetu. Ukweli wa kusikitisha ni kuamba, waumini wengi hawawezi kufurahia wokovu wao kwasababu hawajukumike kwa kutii Neno la Mungu. Kutii kwa Neno hili,ndiyo mahali hapo zinaanzia Baraka na furaha!

Israeli hayikutaka kupoteza roho yao ya ushujaa ya kufurahia, hivyo walijikusanya tena kwa kutii Mungu kuhusu jambo hili: “ Waliokua wa wazao wa Israeli wakajitenga na wageni wote,wakisimama,wakiziungama zambi zao” (Nehemiah 9:2).

Hali ya Israeli na majaribio hayakugeza — Mungu ndio aliwagewuza. Nehemia aliwakumbusha Israeli yenye furaha, na vipi Mungu aliwatimizia maitaji yao wakiwa jangwani. Bwana ari wamuagia huluma mbali mbali. Aliwafunza kupitia Roho yake na kuaongoza kupiya wingu pamoja na nguzo ya mwoto. Aliwatimizia maitaji yawo kimaajabu kwa kuwapatia mana na maji. Tena, kimaajabu, hakuruhusu nguo zao ziishe awo viato vyao havichakaa (angalia Nehemia 9:19–21).

Kama hivyo kwa siku ya leo, Mungu amehadi kumuaga huluma zake kwa watu wake. Ndani ya mateso yetu, tunapashwa kunyenyekea kwa Neno la Mungu na kuomba Roho Mutakatifu iliandike katika mioyo yetu. Hivyo ndivyo tunaanza kuingingia katika mapumuziko yake na amani kutoka kwake.

Vipi tunaweza kudumisha furaha kutoka kwa Bwana? Tunafanya vile vile tulivyo pata furaha wakati wamwanzo: Tunapenda, tunaheshimu na tunanjaa ya Neno lake.Tena tunaendelea kuwa namuenendo wa kutii kupitia nguvu za Roho Mutakatifu. Furaha tu ya Bwana inaugavyi kwetu na nguvu yakweli!