MAPIGANO YENYE MANA

Gary Wilkerson

Kitabu cha Ayubu kinashughulikia maswali mengi ambayo haya mateso ya mtakatifu aliyopewa Baba yake wa mbinguni wakati wa dhiki kuu. Kwa nini alipitia mateso mengi? Kwa nini uhai wake ulikuwa usio wamaana wakati ulikuwa wenye matunda na ustawi? Nini iliokuwa na lengo gani ndani yake yote? Jibu la Mungu kwa Ayubu ni la ubunifu na la pekee kama anajibu na swali hili: "Je! Waweza wewe kumuvuwa mamba kwa ndoana?" (Yobu 41:1). Katika nyakati za kale, mamba ilikuwa kiumbe mkubwa wa baharini, au kama nyoka kubwa ya ajabu inayo inayo ishi majini, na hapa inaashiria mapambano ya idadi ya nadharia.

Mungu anawaita watu kupigana na machafuko, na shida ambayo imeteeka hata miji yote. Vita hivi ni vikubwa, kina, na vipo kwa sababu mwanamume au mwanamke wa Mungu asimame na kusema, "Hii ina maanisha kushindana na. Hii ina maanisha kupigana. Hatuwezi kukubali hili kama mamba ina utawala wa bure bila vita."

Biblia imejazwa na mahusiano ya vita. Mungu anatuahidi ushindi, maana yake kuna kitu cha kushinda - na kushinda maana yake kuna uwezekano wa kushindwa. Lakini tunapaswa kuwa tayari kujiandaa vita vikali, tukiwa na silaha nzuri. "Kwa sababu hiyo, chukueni silaha zote za Mungu, ili muweze ... kusimama" (Waefeso 6:13).

Unaweza kuwa na mamba katika maisha yako, awo katika moyo wako na akili, au katika familia yako. Unamwamini Mungu kwa muujiza lakini unakuwa mzito kwa kupigana na hajui jinsi ya kushinda. Unapofadhaika, usiache; unapovuja damu, usiche; unapokata tamaa, usiache. Na unapoanguka chini, usiendeleye kuwa chini - lakini endelea kwa uwezo wake. "Si kwa uwezo wala si kwa nguvu, bali ni kwa Roho yangu, asema Bwana wa majeshi" (Zekaria 4:6).

Bwana ni mwenye nguvu katika vita, na hakuna giza la Jahannamu linaweza kusimama dhidi yake. Ni heri kujua kwamba Roho Mtakatifu anakaa ndani yako na wewe si peke yako - hivyo simama imara katika Bwana!