KUMUNGOJEA YESU

Gary Wilkerson

Sitafundisha wujumbe kuhusu “kungojea nguvu za Mungu” Kama sijafahamu kwamba nikweli. Muke wangu, Kelly, na mimi  tumepitia katika wufahamu huo. Tumewahi kuandika juu ya mutoto wetu Elliot ambaye amekuwa mraibu wa madawa ya kurevya kama vile “heroin.” Kwa muda fulani  hakuwa nyumbani. Turijaribu kumsaidia  kupitia program za kusaidia watumiaji madawa ya kulevya na kuwuliziya  watu binafusi ambao wangeweza ku musaidiya  lakini hayikusaidia lolote. Mara nyingi wusiku  Kelly na  mimi tulikuwa hatupati usingizi usiku kucha; huo ulikuwa wakati mgumu katika maisha yangu.

Usiku wumoja Kelly aliniambia kama amesikia kutoka kwa Bwana, nami nilikua nawona kwamba ni mukweli  alikua akifunikwa na kitu fulani kutoka kwa Mungu.

“Nimekuwa na ndoto kama Elliot amegagaa chini, bila kuwa nafahamu. Yesu aliniambia kumunyanyua kutoka chini , nawakati nirifanya hilo, mwili wake zaifu, urikuwa umeninginizwa mikononi mwangu .  Yesu alipo mnyanyua kutoka kwangu, nilishukuru sana kwa kupumuzika saana. Lakini alipo rudi nyuma yangu sasa sikumuona tena Elliot.

“Iki ketendo kiri niuzi saana, lakini nilijihisi kuwa mukakamavu wakati Bwana arikuwa anatuambia, ‘Huwezi kufanya hili wewe mwenyewe. Nilazima usimamishe kucanganya. Hawuwezi kukiona, lakini niko nafanya kazi iko ndani ya Elliot imefichwa macho yenu.’”

Muda wa wiki kazaa  Roho Mtakatifu  alikumbatiya kijana wetu  na kubadirisha maisha yake. Arimuokowa Elliot kabisaa ,tena siku hizi nikijana shupavu anayotoa ushuhuda kuhusu Mungu.

Ndugu, kama leo tukishindwa, nikuamba  hatuko tunagojea nguvu za Mungu?  Ni kwamba “ tunajionyesha” sisi wenyewe  kuriko “kujificha” sisi wenyewe  ndani ya Maombi?  Nawatiya moyo wa kusubili Yesu. Wakati neno lake  likikufikiya kupitia Roho Mtakatifu, akinong’oneza, “Jiwonyeshe wewe mwenyewe,” hakuna kitu chochote maishani chakufananisha.

Siku hiyo , utaona mbingu inagusa alizi kupitia njia haujawahi  kufikili. Utasema na kujiamini sana , pamoja na mamulaka na ujasili. Tena furaha yako kwa kutembea pamoja na Yesu ,itakuwa kama hujawahi kuyipitia kamwe.