Gender

KUSUBIRI UFUNUO

Carter Conlon

Kila mtu anataka ahadi kutimizwa kwa haraka, hasa kama ni kwa Mungu na tunajua itakuwa nzuri sana.

Tunapojaribiwa kuwa na subira na Bwana, wakati Mungu anaonekana kama anaendelea polepole, lazima tuelewe kwamba mara nyingi hawezi kutimiza ahadi aliyotupatia mpaka tabia na maumbile yake yaumbike kikamilifu ndani yetu. Kunaweza kuwa na hatari kubwa wakati kipimo chochote cha ukweli na ufunuo juu ya Mungu ambacho tumepewa bado hakijatengenezwa kikamilifu ndani yetu.